AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Rais Xi mwenye umri wa miaka 64 anatajwa kuwa kiongozi mwenye ushawishi mkubwa zaidi baada ya alieyekuwa kiongozi wa kihistoria wa nchi hiyo Mao Zedong
Bunge lilipiga kura kupitisha marekebisho ya Katiba na kuondoa ukomo wa rais kukaa madarakani. Rais wa sasa Xi Jinping aruhusiwa kutawala bila kikomo.
Katika mchakato huo ulihusisha Wabunge takribani 3000 waliopiga kura na wakati wa kutolewa kwa matokeo ni Wabunge wawili tu ndio walipiga kura ya hapana dhidi ya mabadiliko hayo
Katiba ya China ilikuwa ikitoa uhalali kwa Rais kukaa madarakani kwa muda usiozidi vipindi viwili tu huku kila muhula ukiwa hauzidi miaka 5(kama ilivyo kwa Katiba ya Tanzania)
Mwezi uliopita chama cha Kikomunisti cha China kinachoongoza taifa hilo kilitoa pendekezo la kuondolewa kwa ukomo wa mihula ya Rais na Makamu wa Rais na leo wamehitimisha kwa kupiga kura
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK