Rais wa Zamani wa Brazil Ajisalimisha Gerezani Kutumikia Kifungo cha Miaka 12

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Rais wa Zamani wa Brazil Ajisalimisha Gerezani Kutumikia Kifungo cha Miaka 12Leo April 9, 2018 stori ninayokusogezea ni kuhusu Rais wa zamani wa Brazil, Luiz Inacio Lula da Silva amejisalimisha katika gereza la Curitiba tayari kuanza kutumikia kifungo cha miaka 12 baada ya awali kukwepa kufanya hivyo.

Ijumaa Mahakama ilimhukumu kwa mashtaka ya ufisadi, lakini alikimbilia katika makao makuu ya muungano wa wafanyakazi mjini Sao Paolo, ambako wafuasi wake walitaka asijisalimishe.

Televisheni nyingi nchini Brazil zimeonesha alivyowasili kwa helikopta katika Makao Makuu ya Polisi katika mji wa Curibita.

Lula alitoa hotuba katika mji wa Sao Bernardo do Campo kabla ya kujisalimisha, Lula amejitaja kuwa raia aliyekasirishwa na mashtaka ya kutungwa ya ufisadi.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad