AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kabla ya uteuzi wake Joyce Msuya alikuwa Mshauri wa Makamu wa Rais wa Benki ya Dunia kwa Asia ya Mashariki na maeneo ya Pacific huko Washington DC.
Ms. Msuya ambaye ameolewa na mama wa watoto wawili, ana elimu ngazi ya uzamili ya Sayansi ya Microbiology na Immunology kutoka chuo kikuu cha Ottawa Canada, na shahada ya Sayansi ya Biochemistry na Immunology kutoka chuo kikuu cha Strathclyde, Scotland.
Joyce Msuya atachukua nafasi ya Ibrahim Thiaw wa Mauritania ambaye alitumikia nafasi hiyo tangu mwaka 2013 na aliyekuwa Katibu Mkuu wa UN Ban Ki-moon.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK