Wizkid na Kashfa ya Kutelekeza Mtoto wake

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Staa wa muziki kutokea Nigeria Wizkid “Starboy” amechukua headlines kupitia mitandao ya kijamii baada ya mwanamke aliyezaa nae mtoto wake wa pili Binta Diamond Diallo kutoa malalamiko kupitia ukurasa wake wa instagram kuwa staa huyo hatoi matunzo kwa mtoto wake.

Kupitia ukurasa wa instagram wa Binta ambaye ni mwanamke aliyezaa na Wizkid ameandika “Sijali ulipo, sijali upo na nani, kama una watoto hakikisha unawajali na unapata muda wa kuwa nao #usitoevisingizo”

Wizkid kwa sasa ana watoto watatu wakiume ambao amezaa na wanawake watatu tofauti akiwemo manager wake Jada Pollock.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad