AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Makonda ametoa kauli hiyo wakati akizungumza na Vijana wa JKT na Mgambo, waliojitokeza katika usaili wa kuajiriwa ili kusimamia zoezi la usafi na kuhakikisha wanawawajibisha wanaochafua mazingira jijini, huku wafanyabiashara wakifungua maduka yao kama kawaida.
“ Wafanyabiashara kufunga maduka yao siku ya Jumamosi hadi Saa nne asubuhi, hilo halitakuwepo tena na badala yake nawakabidhi jukumu hilo na atakayekaidi zoezi la Usafi na kutupa taka ovyo akamatwe maramoja”, amesema Makonda.
Aidha Makonda amesema vijana hao watakuwa na jukumu la Kusimamia kampuni zilizopewa kazi ya Usafi kwenye maeneo husika, Kuwakamata, kuwatoza faini watupaji wa taka pamoja na kufuatilia kujua kila nyumba inapeleka wapi taka wanazozalisha ambapo ifikapo Jumanne ya Julai 10 itakuwa ndio mwisho wa usajili wa vijana hao.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK