Hakuna Msiba Wenye Faida ;-Stev Nyerere

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Hakuna Msiba Wenye Faida ;-Stev Nyerere
Msanii wa muziki wa bongo movies stebe nyerere ambae kila siku amekuwa akijitoa kufanya analoweza ili kuwaistiri watu mbalimbali wanaokumbwa na misisna lakini wasanii wanaofariki kuweza kushughulikia mazishi amfunguka  baada  ya kuwepo kwa maneno mengi kuhusu kujihusisha kwake katika misiba.

Akiongea na Clouds media mapema leo, steve nyerere anasema kuwa alikuwa amekaa pembeni kwa muda kuangalia jinsi waliokuwa wakifanya kazi hiyo kama wanaweza na amegundua mapungufu mengi yanavomlazimu kuendelea kujitolea kufanya shughuli hiyo.

Hata hivyo Steve anasema kuwa hawezi kuacha kujitolea kufanya kazi  hiyo kwa sababu ya maneno ya watu.

Mimi sitaacha kusimamamia misiba ya watu kwa  sababu ya maneno ya watu, nilikaa pembeni lakini baadae nikagundua kuwa utendaji kazi hauridhishi, nimeamua nirudi,kuna baadhi ya watu kazi yao kuchuruza maji kama dodoki lakini nataka kuwaambia kuwa hakuna msiba wenye faida.

Steve amekuwa akisemwa kuwa amekuwa akijihushisha katika misiba kwa sababu amekuwa akipata pesa katika misiba hiyo pale zinaapochangishwa pesa kwa ajili ya matatizo hayo.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad