AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Wiki iliyopia mwanadada Irene alionekana katiak safari na rafiki yake mwingine wa kiume tofauti na mumewe Dogo janja huku wawili hao wakionekana kula raha huko Dubai na kusababisha watu kuanza kuhoji na wengine kusema kuwa mwanadada huyo ameachana na Dogo janja na ndio maana hawajaenda wote Dubai lakini pia ameamua kwenda na mwanaume wingine.
Dogo janja alitafutwa na Team ya XXL na kuuulizwa kuhusu swala la kuachana kwao kama ni kweli na Dogo janja aliwajibu “hatujaachana lakini na isis tumeamua kuweka mambo yeu wazi, na ndio maana unakuta hakuna picha nyingi tunazopiga pamoja siku hizi”
Baada ya hapo waliamua kumtafuta Irene ili kuthibitisha kauli ya mume wake nae pia aliwajibu kwa kusema “nimerudi juzi na sijaenda na dogo janja kwa sababu na yeye ana ratiba zake, na sioni haja ya kuongozana ane kila sehemu wakati kila mtu ana ratibza zake.Watu wafanya mambo yao na waache kufuatilia mambo ya watu”
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK