Dogo Janja Ajibu Tetesi za Kuachana na Mkewe

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Dogo Janja Ajibu Tetesi za Kuachana na Mkewe
Msanii wa bongo fleva Dogo Janja amefunguka na kuwajibu mashabiki walikuwa wanasambaza na kutukana katika mitandao kuhusu mahusiano yake a kindoa na mkewe Irene uwoya.

Wiki iliyopia mwanadada Irene alionekana katiak safari na rafiki yake mwingine wa kiume tofauti na mumewe Dogo janja huku wawili hao wakionekana kula raha huko Dubai na kusababisha watu kuanza kuhoji na wengine kusema kuwa mwanadada huyo ameachana na Dogo janja na ndio maana hawajaenda wote Dubai lakini pia ameamua kwenda na mwanaume wingine.

Dogo janja alitafutwa na Team ya XXL na kuuulizwa kuhusu swala la kuachana kwao kama ni kweli na Dogo janja aliwajibu “hatujaachana lakini na isis tumeamua kuweka mambo yeu wazi, na ndio maana unakuta hakuna picha  nyingi tunazopiga pamoja siku hizi”

Baada ya hapo waliamua kumtafuta Irene ili kuthibitisha kauli ya mume wake nae pia aliwajibu kwa kusema “nimerudi juzi na sijaenda na dogo janja kwa sababu na yeye ana ratiba zake, na sioni haja ya kuongozana ane kila sehemu wakati kila mtu ana ratibza zake.Watu wafanya mambo yao na waache kufuatilia mambo ya watu”
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad