AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Emmanuel anasema kuwa kwa takribani miaka minne sasa hajawahi kuonana na mtoto wake na hata pich ya mwisho aliyokuwa nayo ya mtoto huyo ni ile aliyopiga nae siku ya mwisho walipokuwa mahakamani kufuatilia talaka.
Emmanuel anasema kuwa inazidi kumuumiza kwa sababu ndio mtoto pekee aliyenae aliempata akiwa kijana lakini alimlea kwa mapenzi tangu alipozaliwa akiwa mchanga na yeye ndio alikuwa akimlea mtoto huyo.
Unajua Liz ni mtoto wangu wa ujanani, nimemlea tangu akiwa mchanga kabisaa, mara ya mwisho kumuona ni pale mahakamani mwaka 2014 tulipopeana talaka na mama yake na nikapiga nae picha na baada ya hapo mama yake amekuwa akimkatalia nisimuone kwaio imekuwa changamoto sana kwangu.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK