AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Wawili hao walikutana kwenye maadhimisho ya miaka 50 ya kundi la “The Jackson 5” mjini Malloca nchini Hispania mwanzoni mwa mwaka huu 2018, Jermain Jackson ametangaza nia hiyo kupitia chombo cha habari cha “De Telegraaf” kilichopo Uholanzi na kusema “Tutaoana hivi karibuni”.
Jermaine Jackson aliachana rasmi na mkewe Halima Rashid mwaka 2016 na hii itakuwa ni ndoa yake ya nne huku katika ndoa hizo amebahatika kupata watoto 9.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK