AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Katika orodha hiyo ambayo imetolewa leo Septemba 04, 2018, Tanzania imeingiza takribani vijana nane ambao ni Ali Kiba, Falaja Nyalandu, Herieth Paul, Jennifer Bash, Jumanne Mtambalike, Mbwana Samatta, Millard Ayo, pamoja na Yusuf Bakhresa.
Vigezo ambavyo vimetumika ni pamoja na umri wa miaka 30 kushuka chini, kuwa na uwezo wa kuishawishi jamii ambapo haijahusisha kiwango cha mtu cha elimu.
Tuzo hizo za vijana wenye ushawishi mkubwa barani Afrika kwa mara ya kwanza zilizinduliwa mnamo mwaka 2016, ambapo zenyewe zimekuwa zikijikita zaidi katika kuwaangalia shughuli wanazozifanya vijana, ambazo kwa namna moja ama nyingine zimeweza kutoa mchango mkubwa kwa jamii inayomzunguka.
Orodha kamili soma hapa chini.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK