Licha ya Kuwa na Mtoto, Queen Darleen ni Bikra.

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Licha ya Kuwa na Mtoto, Queen Darleen ni Bikra.
Haitakuwa mara ya kwanza kwa mwanadada Queen Darleen kukaa katika media na kutangza kuwa yeye bado bikra ukiachana na kuonekana kuwa yeye ni mcharuko mbele ya watu, hata hivyo wa habari za kutoka kwa watu wae wa karibu inasemekana kuwa mwanadada huyo ana mtoto mmoja mkubwa alyewahi kuzaa huko miaka ya nyuma.

Mwanadada huyo kutoka katika lebo kubwa kabisa nchini na inayofanya vizuri katika muziki yaani WCB , Queen Darleen amesema kuwa watu wanatakiwa kuamini kuwa yeye bado bikra na ametulia sana kulikoa hata vile wanavyomuona katika sehemu mbalimbali.

Queen Darleen anasema kuwa watu wengi wamekuwa wakimuona kama vile hana sifa za kuwa mwanamke bora, mwanadada huyo anajitetea na kusema kuwa anafaa kuolewa na mwanaume bora na kwamba anasifa zote za kuolewa sio mapepe kama wanavyofikiria.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad