AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mwanadada huyo kutoka katika lebo kubwa kabisa nchini na inayofanya vizuri katika muziki yaani WCB , Queen Darleen amesema kuwa watu wanatakiwa kuamini kuwa yeye bado bikra na ametulia sana kulikoa hata vile wanavyomuona katika sehemu mbalimbali.
Queen Darleen anasema kuwa watu wengi wamekuwa wakimuona kama vile hana sifa za kuwa mwanamke bora, mwanadada huyo anajitetea na kusema kuwa anafaa kuolewa na mwanaume bora na kwamba anasifa zote za kuolewa sio mapepe kama wanavyofikiria.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK