Wolper Ajifananisha na Rihana " Mimi ni Rihana wa Bongo Sijaona Designer wa Kushindana na Mimi"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Wolper Ajifananisha na Rihana " Mimi ni Rihana wa Bongo Sijaona Designer wa Kushindana na Mimi"
Mwanamitindo Jacqueline Wolper amesema kwamba yeye ni Designer bora kwa hapa bongo kiasi cha kwamba hakuna wakumshindanisha naye kutokana na ubunifu wake alionao kwenye mavazi mpaka kujilinganisha na Rihana kwa kusema yeye ni ‘Rihana wa Bongo‘.

Wolper ameyazungumza hayo kwenye mahoajiano na Ayo TV na millardayo.com ambapo ameyasema hayo wakati alipokuwa akijibu swali kuhusu vazi lake analolitaka kulileta hapa bongo litakalo kuwa kivutio kama mavazi ya Nigeria, huku akihusisha na swala la mitandao jinsi inavyomtaka yeye kuonesha mpenzi wake kuliko kazi.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad