Maua Sama: Iokote Imeniachia Uchizi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Maua Sama: Iokote Imeniachia Uchizi
MSANII anayekimbiza kwenye gemu la Bongo Fleva, Maua Saleh ‘Maua Sama’ amesema kuwa licha ya wimbo wake mpya wa Iokote kutikisa kila kona lakini pia umemuachia ‘uchizi’.



Akizungumza na Mikito Nunusunusu, Maua aliyeimba wimbo huo kwa kushirikiana na ndugu wa marehemu Banza Stone, Hanstone alisema kuwa, katika maisha yake hajawahi kutegemea kama ataachia wimbo wa kumchanganya kiasi hicho ambapo tangu autoe umezidi kumpa shoo hadi anachanganyikiwa.

“Yaani sijui hata nisemaje, Iokote imenifanyia maajabu makubwa sana hata nashindwa nielezeaje, kama huko nje ya nchi hadi sasa napata shoo hadi nachanganyikiwa nitajigawaje. Ukiingia mitaani, kwenye usafiri ndiyo nakuwa chizi kabisa,” alisema Maua.

Maua aliongeza kuwa, japo Iokote iliachiwa kwa kuvuja mitandaoni, zipo kolabo za kimataifa ameshazifanya ambazo atahakikisha hazivuji, kwani ni kali zaidi ya Iokote
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad