AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akiongea na Waandishi wa Habari leo Ijumaa jijini Dar Es Salaam, IGP Sirro ameonesha picha ya gari hiyo yenye Plate Namba za kigeni zilizosomeka (AGX 404 MC)
Kwa mujibu wa mtandao maarufu duniani wa kukagua usajili wa magari wa worldlicenseplates Plate Number ya gari hiyo inayodaiwa kumteka Mo Dewji zinafanana na Plate Number za Msumbiji.
File:Mozambique plate 01.jpg
Plate Number ya Msumbiji
Kwenye Plate Number hizo MC inaeleza kuwa magari hayo yanatoka mjini Maputo (Maputo City) Msumbiji.
Hata hivyo, awali wakati IGP Sirro akiongea na Waandishi wa Habari alieleza kuwa kuna baadhi ya wahalifu nchini wanakimbilia Msumbiji baada ya kutekeleza uhalifu Tanzania. Tazama video akizungumzia tukio hilo
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK