AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Hapo jana ndipo Cardi B alitoa misaada hiyo ambapo aliwapatia baadhi ya wakazi wa eneo hilo majaketi pamoja na viatu kwa ajili ya msimu wa baridi.
Wakati akikabidhi misaada hiyo Cardi alisema kuna muda watu wanafikiri kwamba wanafanya tu mambo ya starehe, kumbe kuna muda inatakiwa kuwasaidia watoto, jamii na kila mmoja
Tukio hilo linakuja ikiwa ni simu mbili zimepita tangu ameshinda tuzo nne kati ya 10 alizokuwa akiwania kupitia BET Hip Hop Awards kwa mwaka 2018.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK