AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Lakini katika majibu yake , Alikiba alisema kuwa kwa sasa hawezi kufanya hivyo kwa sababua mekuwa na majukumu mengi sana kiais kwamba hatoweza kuwepo katika tamasha hilo lakini alisema kuwa angeweza kuwapa udhamini kupitia kinywaji chake cha MO FAYA.
Baada ya kukaa na kuongea na uongzi wa pande zote mbili waliweza kukualiana juu ya hilo, hata hivyo kukutana kwa wasanii hawa ilikuwa ndoto ya mashabiki wengi sana
Msanii Dudubaya alimaaruf kama konki master amefunguka na kusema kuwa hajafurahishwa kabisa na majibu ya msanii alikiba kwa sababu kujibu hivyo ni kama kuonyesha dharau kuwa tamasha hilo sio muhimu kuliko mambo yake.
Dudubaya anaonekana ku-mind majibu hayo na kumseama alikiba kuwa amekuwa msanii mwenye dharau kwa wasanii wengine, hata hivyo Dudu baya nae ni mmoja wa wasanii watakao tokea katika tamasha hilo.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK