Baada ya Ukurasa wa Kijamii IKULU kumpongeza DiamondPlatnuzm, Msanii Huyo Aandika Ujumbe Mzito

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Baada ya ukurasa wa kijamii wa instagram wa Ikulu kumpongeza msanii DiamondPlatnumz kwa mchango wake wa maendeleo ya jamii ikiwemo kuchangia shule ya msingi ya Sumbawanga katika ujenzi wake hatimaye mwanamuziki huyo ameandika ujumbe wa shukrani kwa Serikali hii ya wamu ya tano kwa kutambua mchango wa sanaa.

View this post on Instagram

Kwa Mara ya Kwanza katika Ukursasa takatifu wa kijamii wa IKULU @ikulu_mawasiliano leo wana sanaa tumeweza kuekwa…. Hii ni faraja na inamaana kubwa sana kwa Vijana na Tasnia nzima ya sanaa… Lakini kupitia hii post itufunze kuwa tukizidi kutumia sanaa zetu katika mambo chanya basi Serikali itazidi kutusapoti na kuhakikisha kazi zetu zinalindwa kwa ukubwa, na kupewa thamani na kipaumbele zaidi……Asante Mh Rais John Pombe Magufuli, Asante Ikulu, Asante Serikali yetu ya Awamu ya Tano, Asante Bongo Fleva🙏🏻 #ThisIsNewBongoFleva Maana halisi ya #MapinduziYaBurudani 🙏🏻 @ikulu_mawasiliano @ikulu_mawasiliano


Diamond ambaye kwa sasa yupo Simbawanga kwaajili ya tamasha lake la WasafiFestival hapo jana alikubali kubeba jukumu la kujitolea kuimalizia shule ya Msingi ya Simbawanga ambayo ilihitaji milioni 68 ili kuhakikisha imemalizika na kuanza kupokea wanafunzi mwezi Januari ambapo aliridhia kubeba jukumu hilo huku akiongezea kuwa yupo tayari kujitolea na mabati 150.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad