AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Wananchi Wilayani Handeni mkoani Tanga wametakiwa kutanguliza uzalendo mbele kwa kushiriki shughuli za maendeleo ikiwa ni ishara moja wapo ya kuunga mkono jitihada za maendeleo zinazoletwa na Uongozi wa Serikali ya awamu ya tano.
Kauli hio imetolewa na Mkuu wa Wilaya ya Handeni Godwin Gondwe wakati wa zoezi la uchimbaji msingi wa vyumba vitano vya madarasa katika Shule ya Sekondari Kwamatuku uliofanywa na wananchi.
-------------------
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
INTERNSHIP VACANCIES
GOVERNMENT VACANCIES
NGO'S VACANCIES
GOODLUCK