Karia atoa tamko hili baada ya Mahakama kumrejesha Wambura TFF

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

à

Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Wallace Karia, amesema hatambui kurejeshwa madarakani kwa aliyekuwa Makamu wa Rais wa Shirikisho hilo, Michael Richard Wambura. 

Karia ameeleza hayo baada ya Wambura kushinda kesi ambayo ilikuwa mahakamani iliyokuwa ikidai alifanya ubadhirifu wa fedha na TFF kumfungia kujihusisha na masuala ya soka. 

Licha ya kushinda na mahakama kusema yuko huru kurejea kwenye nafasi yake, Karia amesema hatambui kurejea kwake akieleza jambo hilo lipo kwenye Kamati ya Maadili. 

Baada ya Wambura kufungiwa soka, miezi kadhaa baadaye TFF ilitangaza kumchagua Athuman Nyamlan kuchukua nafasi ya Umakamu Mwenyekiti. 

TFF ilifikia hatua ya kumteua Nyamlan baada ya nafasi hiyo kuwa wazi kwa miezi kadhaa na uoogozi wa juu kupitia Karia ukaamua kumteua Nyamlan kujaza nafasi ya Wambura.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad