AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Msanii wa Muziki, Linah amefunguka kuhusu kuolewa.
Lina amesema kuwa kwasasa hatamani kuolewa ila ameona atulie huku akimwaga sifa za mwanaume anayemtaka.
"Nataka mwanaume mwenye mapenzi, Matundo na mwenye kujali, sitamani kuolewa natamani kwasasa hivi ni chill kwanza," alisema Lina Dizzim Online.
Lina kwasasa anatamba na kibao cha wimbo wake mpya unaitwa 'TulizaBoli'.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK