AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
HOMA BAY, KENYA: Mwanamke wa miaka 45 alikuwa amelala na Mumewe huku simu hiyo iliyokuwa ikichajiwa ikiwa kitandani
Inaelezwa kuwa chanzo cha mlipuko huo ni radi iliyopiga kwenye mfumo wa umeme wa jua wa nyumba hiyo na hatimaye kusafiri hadi kwenye simu
Mumewe alimkimbiza kwenye kituo cha Afya cha Ndiru lakini Mwanamke huyo alifariki
Radi hiyo imesababishwa na mvua zinazoendelea kunyesha katika Kaunti hiyo
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK