AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akiongea na Amani Shehe huyo alisema, kauli ya Uwoya kudai kuwa yeye si Muislamu inaonesha kuwa wakati akibadili hakuifuata dini bali mwanaume.
“Mwanadada huyo kuchukua uamuzi wa kutaka kuolewa na aliyekuwa mwenza wake hakuridhia kutoka moyoni, hivyo katika ndoa hiyo Uwoya alimfuata mwanaume na wala hakufuata dini,” alisema shehe huyo.
Aliongeza kusema, licha ya kumfuata mwanaume huyo lakini pia mume inawezekana hakumfundisha masuala ya dini kama anavyotakiwa kufanya na ndiyo maana mkewe akaamua kurudi katika dini yake ya awali ambayo ni ya Kikristo.
TUJIKUMBUSHE
Uwoya alifunga ndoa ya Kiislamu na Dogo Janja na kutangaza kuwa, amebadili dini na kuitwa Sheila, hata hivyo baada ya miezi kadhaa wawili hao waliachana kimyakimya bila kuweka wazi ndoa yao kuvunjika.
Aidha, baada ya kuwepo kwa uvumi huo, hivi karibuni Uwoya aliibuka na kusema hakuwahi kubadili dini kwa ajili ya kuolewa jambo ambalo shehe amelitolea ufafanuzi.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Sheikh wangu wachana nao hao wasnii.wanaweza kukuvunjia heshima.maisha yao ni sanaa hata kwenye dini na ndoa.
ReplyDelete