Yusuf Manji Hatarini Kufilisiwa...Mali zake zawekwa Chini ya Uangalizi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mali za mfanyabiashara maarufu nchini Yusuf Manji ziko hatarini kufilisiwa na kuwekwa chini ya wadhibiti na wakabidhi wasii ili kulipa madeni yanayodaiwa na Benki ya Maendeleo Afrika mashariki na Kusini, mali hizo ni pamoja na jengo linalofahamika kama Quality Centre.

Taarifa ya wafilisi na wakabidhi wasii chini ya Kampuni ya Price Water House Coopers (PWC) inaeleza kuanzia (jana) Manji hataruhusiwa kumiliki mali hizo mpaka atakapolipa madeni yote.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad