AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli amesema kuwa maendeleo hayana chama, kwani hata ndani ya chama chake cha CCM kuna baadhi ya viongozi ni wezi, pengine kuliko hata watu kutoka kwenye vyama vya upinzani.
Rais Magufuli ameyasema hayo leo Januari 18, 2019 kwenye hafla ya makabidhiano ya mfumo mpya wa kusimamia uwazi katika mawasiliano ya simu (TTMS), Makao Makuu ya TCRA, Dar es salaam.
-------------------
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
INTERNSHIP VACANCIES
GOVERNMENT VACANCIES
NGO'S VACANCIES
GOODLUCK