Hata CCM Kuna Majizi, Kuliko hata CHADEMA- Rais Magufuli

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Hata CCM Kuna Majizi, Kuliko hata CHADEMA- Rais Magufuli
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli amesema kuwa maendeleo hayana chama, kwani hata ndani ya chama chake cha CCM kuna baadhi ya viongozi ni wezi, pengine kuliko hata watu kutoka kwenye vyama vya upinzani.


Rais Magufuli ameyasema hayo leo Januari 18, 2019 kwenye hafla ya makabidhiano ya mfumo mpya wa kusimamia uwazi katika mawasiliano ya simu (TTMS), Makao Makuu ya TCRA, Dar es salaam.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad