AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kupitia ukurasa wa Instagram wa Irene Uwoya ameandika ujumbe kujibu tuhuma hizo ikiwa na kuwaomba watu wafanye mambo yanayowahusu lakini hadi sasa Irene pamoja na Dogo Janja hawajaweka wazi kuhusu kuachana kwao ingawa wamekuwa wakirushiana vijembe kwenye mitandao ya kijamii.
Irene Uwoya >>>“Mhhh wa bongo jamani loooh mara natembea na John, mara Mussa mara Jacob mara nahis jirani mara kasuku mara urithi mara mafao ya baba yake mara hana lolote dooohhh! kweli kazi mnayo ndio maana hamna kazi zakufanya jua likisogea na nyie mnasogea daaah poleni sana kiufupi tu mnajisumbua fanyeni maisha yenu kama mkishindwa njoooni insta mniview na kunilike pia kama huna bando semaaa tuuu nagawaga voucher na tena leo pia nitagawa nimekumbuka”
“Kazi ya mimi kuwa na nyumba au maendeleo niacheni mimi acheni kujipa majukumu yasiyowahusu.Haya bby ndio nakuja hivi “
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK