AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Vanessa Mdee amezidi kuwasisitiza mashabiki wake kumpigia kura kwenye tuzo za Hi Pipo Music Awards kutoka nchini Uganda.
Vanessa anawania vipengele sita kwenye tuzo hizo, miongoni mwa vipengele anavyowania ni pamoja na msanii Bora wa Kike Afrika Mashari na Video ya Mwaka kutoka Tanzania kupitia wimbo wake uitwao Wet.
Tuzo hizo zinatarajiwa kutolewa March 16 mwaka huu Kampala Uganda kwenye Hoteli ya Serena. Wasanii kutoka mataifa ya Ghana, Nigeria, Afrika Kusini, Kenya na kwingineko wanatarajiwa kushiriki.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK