Real Madrid Kwenye Mikakati Mizito ya Kumrudisha Jose Mourinho

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Klabu ya Real Madrid ya nchini Hispania wapo katika mikakati ya kumrudisha meneja wao wa zamani, Jose Mourinho katika anga ya Bernabeu, hata hivyo watalazimika kuilipa Manchester United Euro milioni 10m ikiwa watamuajiri.

Hatua hiyo inakuja ikiwa ni wiki chache tangu Jose mourinho kutumuliwa na Klabu ya Manchester United nchini Uingereza kutokana na mfululizo wa matokeo mabovu Uwanjani.

Utakumbuka Kocha huyo mbwatukaji alikinoa kikosi cha Real Madrid kwa kipindi cha miaka mitatu kuanzia 2010 hadi 2013 ambapo aliwezesha timu hiyo kutwaa mataji mbalimbali likiwemo la Ligi kuu nchini Hispania.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad