AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mshauri wa siasa za kimataifa katika Ikulu ya Urusi Yuri Ushakov amewaambia wanahabari katika miezi michache iliyopita hali katika rasi ya Korea imetulia, kwa kiasi kikubwa kutokana na juhudi za Korea Kaskazini za kusitisha majaribio ya makombora na kufunga kituo chake cha kufanyia majiribo ya nyuklia.
Kwa hiyo Urusi inataka kusaidia kwa njia yoyote ile kuyaendeleza mafanikio hayo.
Wachambuzi wanasema ziara ya Kim nchini Urusi ni ya kutafuta uungwaji mkono wa mataifa ya kigeni, baada ya kuvunjika kwa mkutano wa pili wa kilele kati ya Marekani na Korea Kaskazini mjini Hanoi Februari mwaka huu.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK