AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Rais Magufuli amemtumbua na kumrudisha kituo cha kazi OCD wa Njombe alasiri hii ya leo baada sala ya toba iliyofanyika kwa kushindwa kuzuia mauaji ya watoto mkoani humo.
Tukio hilo limetokea leo wakati Rais Magufuli akiwa kwenye ziara mkoani Njombe alieleza kuwa, "huwezi ukawa RPC na bado watoto wa wenzako wanapotea umekaa tu ofisini na nyota zako mbona mtoto wako hawajapotea?. Kuanzia sasa hivi OCD wa hapa sio OCD tena, najua upo hapa unanilinda".
Akikazia kuhusu msimamo wake kwenye mauaji ya Njombe Rais Magufuli alimuonya Mkuu wa Mkoa na Wilaya huku akitaka wajitathmini
"Na hili suala la watoto kuuawa likijitokeza tena ujue kuwa mtaondoka wote kuanzia RC, ma DC, wenyeviti mpaka Mwenyekiti wa CCM Mkoa, wananchi wa Njombe acheni imani potofu za kishirikina".
"Njombe mmelitia doa taifa, kwa hili naomba tufanye toba watanzania wote nikiwemo na mimi ninayeongoza watanzania wanaoua wenzao", ameongeza
Baada ya toba
Muda mfupi baada ya kumalizika kwa toba, Rais Magufuli amesema. "nimeamua kumsamehe OCD haya rudi kazini. Yuko wapi?".
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Asante ndugu
ReplyDelete