AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Bi Samia ametoa fedha hizo kama mchango wa hafla ya harambee kuichangia Taifa Stars inayofanyika leo katika hoteli ya Serena Jijini Dar es Salaam.
“Mimi nitanunua fulana ya Taifa Stars kwa shilingi milioni tano,” Makamu wa Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan.
Kikosi cha Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) tayari kiko Misri kwaajili ya mashindano ya Africa, AFCON 2019 ambayo yanatarajiwa kutimua vumbi hapo kesho. Tayari Spika wa Bunge, Job Ndugai amewasili nchini humo kwaajili ya kuipa hamasa Timu hiyo
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK