AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Lyimo amesema kuwa anaona bajeti hiyo haina gender balance kwanini haijatafuta bidhaa ya wanaume waiwekee kodi? wanachagua bidhaa za wanawake?
"Mawigi ni bidhaa kwaajili ya wanawake. Kuna watu "naturally" hawana nywele, wana vipilipili hivyo ni lazima wavae mawigi, nilitegemea wabunge wanawake tuandamane kupinga hii bajeti, imekuwa "gender insensitive" hasa suala la pedi kurudishiwa kodi,"alisema Lyimo.
Hata hivyo, Mbunge huyo alitoa mfano wa baadhi ya Wabunge waliovaa mawigi walivyopendeza huku akimtaka Naibu Spika kuwaangalia
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK