AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Yanga hadi sasa tayari wameshawasajili wachezaji wa timu za nje ambao ni Sadney Urithob, Issa Bigirimana, Patrick Sibomana, Maybin Kalengo, Juma Balinya, Lamine Moro, Selemani Mustapha na Abdulaziz Makame.
Akizungumza na Spoti Xtra, Mwenyekiti wa Yanga, Dk Mshindo Msolla amesema; “Kocha Zahera ameagiza kwamba kwa sasa ni kuwabana wachezaji waliopo kwenye timu kwa kuwapa mikataba mipya kwa wale ambao anawahitaji kwa msimu ujao.”
“Tayari ameshatoa orodha yake ambapo nalo tutalifanya kama ilivyokuwa kwa wachezaji waliokuwa nje ya timu. Tutamalizana nao na muda siyo mrefu tutaanza kuwatangaza kama ilivyokuwa kwa hawa,” alisema Msolla. SAID
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK