Mwinyi Zahera Abadili Upepo Yanga

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

BOSI wa benchi la ufundi la Yanga, Mwinyi Zahera raia wa DR Congo amewasisitiza viongozi wa timu hiyo kuwapa mikataba mipya kwa haraka wachezaji waliomo kikosini humo ambao wamemaliza na wapo kwenye malengo yake.



Yanga hadi sasa tayari wameshawasajili wachezaji wa timu za nje ambao ni Sadney Urithob, Issa Bigirimana, Patrick Sibomana, Maybin Kalengo, Juma Balinya, Lamine Moro, Selemani Mustapha na Abdulaziz Makame.



Akizungumza na Spoti Xtra, Mwenyekiti wa Yanga, Dk Mshindo Msolla amesema; “Kocha Zahera ameagiza kwamba kwa sasa ni kuwabana wachezaji waliopo kwenye timu kwa kuwapa mikataba mipya kwa wale ambao anawahitaji kwa msimu ujao.”



“Tayari ameshatoa orodha yake ambapo nalo tutalifanya kama ilivyokuwa kwa wachezaji waliokuwa nje ya timu. Tutamalizana nao na muda siyo mrefu tutaanza kuwatangaza kama ilivyokuwa kwa hawa,” alisema Msolla. SAID
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad