Mbele ya RC Makonda, Pascal Cassian wa BSS Atoa Ushuhuda Alivyopona (Video)

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Tunayo stori kutokea kwa Mshindi wa BSS mwaka 2009 Pascal Cassian ambapo amemshukuru Mungu na Watanzania kwa jinsi walivyojitolea kuhakikisha hali yake ya Kiafya inarejea kama ilivyo awali kutokana na maradhi aliyokuwa akisumbuliwa nayo.

Pascal ametoa shukrani hizo wakati akitoa ushuhuda wa afya yake katika Ofisi ya Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda ambaye alijitolea kuhakikisha anasafirishwa kwenda nchini India kupatiwa matibabu.



----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad