AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Tunayo stori kutokea kwa Mshindi wa BSS mwaka 2009 Pascal Cassian ambapo amemshukuru Mungu na Watanzania kwa jinsi walivyojitolea kuhakikisha hali yake ya Kiafya inarejea kama ilivyo awali kutokana na maradhi aliyokuwa akisumbuliwa nayo.
Pascal ametoa shukrani hizo wakati akitoa ushuhuda wa afya yake katika Ofisi ya Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda ambaye alijitolea kuhakikisha anasafirishwa kwenda nchini India kupatiwa matibabu.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK