Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo Bonyeza Hapa
Akizungumza na waandishi wa habari, Kamishna Msaidizi wa Polis,i ACP Salim Hassan, amesema watu hao wamekamatwa kutokana na oparesheni maalum na watafikishwa mahakamani ushahidi ukikamilika.
Aidha amesema jeshi lake kitengo cha kupambana na dawa za kulevya kwa kushirikiana na wakuu wa upelelezi wa mkoa na kamati za ulinzi na usalama, limejipanga kuhakikisha suala la usambazaji na uuzaji wa dawa za kulevya linatokomezwa.
Hata hivyo, jeshi hilo limetoa rai kwa wote wanaoendelea na biashara hii haramu waache mara moja kwani oparesheni hii ni endelevu.
LOVE STORY YA UTANIKUMBUKA NEYLA Ipo tayari ni maandishi na Sauti !, Kuisoma yote Bonyeza HAPA Lipia tsh 1000 Tu mtandao wowote,au Tembelea www.makapedia.com