AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Amber Lulu alisema; “Kila mtu kaumizwa ila kwa sasa mapenzi hayana nafasi kama kazi yangu. Kazi yangu ina nafasi kubwa kuliko haya mapenzi, mtu kukusaliti ndiyo kunaumiza kuliko kitu chochote, kila mtu niliyekuwa naye kwenye mapenzi aliishia kunisaliti hivyo sitaki tena mambo hayo,” alisema Amber Lulu.
Amber lulu aliwahi kuwa kwenye uhusiano wa kimapenzi na wasanii mbalimbali wakiwemo Young Dee, Barnaba Classic, Aslay, Rami Gallis na msanii kutoka nchini Kenya, Jackson Makini ‘Prezzo’.
Kwa sasa kuna tetesi kuwa anatoka kimapenzi na msanii wa Bongo Fleva, Naftali Mlawa ‘Nuh Mziwanda’.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK