AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kwa mujibu wa watu wa karibu na Diamond, alipewa ruhusa hiyo ikiwa ni siku moja baada ya kupata baraka ya kumchukua mtoto wake mwingine, Daylan aliyezaa na mwanamitindo, Hamisa Mobeto. “Ujue kwa muda mrefu Zari alikuwa hataki kabisa Diamond awasogelee watoto wake. Kama mnakumbuka kuna kipindi alisema anaweza kuwahudumia kwa kila kitu kwa hiyo hana shida naye.
“Kingine hata katika siku ya wababa duniani, Zari alijitakia mwenyewe wala Diamond hakuhusika na hiyo yote ilisababisha baada ya kutoka na Tanasha yule raia wa Kenya,” kilisema chanzo. Inaelezwa kuwa, baada ya Diamond kuwasiliana na watoto wake hao kwa mara ya kwanza, alielekea moja kwa moja kwenye sherehe ya kuzaliwa mtoto wa Mkuu wa Mkoa wa Dar, Paul Makonda, Keegan akiwa amembeba Daylan mwanzo mwisho.
Diamond na Zari walishawahi kuwa katika uhusiano wa kimapenzi ambapo walikuwa wakiishi pamoja jijini Dar na kufanikiwa kupata watoto wawili. Waliachana Februari, mwaka jana na tangu hapo wawili hao wamekuwa wakipeana vijembe mitandaoni huku Zari akimuwekea ngumu Diamond kuona watoto.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK