Mauaji...Mlinzi wa SPIKA Auawa kwa Kupigwa Risasi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


MLINZI wa spika wa bunge la kaunti ya Meru, Joseph Kaberia, ameuawa kwa kupigwa risasi jijini Nairobi nchini Kenya.

Vyombo vya habari nchini Kenya vimeripoti kuwa mlinzi huyo alipigwa risasi jana Jumapili, Julai 21, katika eneo la Kamiti Corner.

Kwa mujibu wa polisi, nchini humo wanasema mlinzi huyo alikuwa  na dereva wa spika wakati tukioh ilo linatokea.

Dereva huyo amekamatwa ili kusaidia polisi katika uchunguzi zaidi kuhusiana na tukio hilo huku polisi wakishuku pia huenda alihusika kwa njia fulani.

Polisi walifika katika eneo la tukio hilo ambapo waliwakuta wawili hao huku mlinzi akiwa amepigwa risasi kifuani na dereva kwenye mguu  na wote  walikimbizwa hospitalini ambapo mlinzi huyo alifariki akiwa anapokea matibabu.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad