Zari Aendelea KULA Madili ya Nguvu...Achaguliwa Kuwa Jaji na Mlezi Shindano la Miss Uganda

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mwanamama Zari The Boss Lady huwa hataki kupitwa na kila fursa inayokatisha mbele yake, hasa linapokuja suala la kuingiza mkwanja.

Mwanamama huyo amefanikiwa kupata dili la kuwa Jaji kwa mara ya pili na pia ametajwa kuwa mlezi kwenye shindano la kumtafuta Miss Uganda2019, ambapo mwaka jana pia alikuwa Jaji wa shindano hilo.

Kupitia mtandao wa Instagram, waandaaji wa shindano hilo wamethibitisha hilo kwa kuandika: "We are excited to have our judge & patron Zari back.

She will be in Uganda for #MissUganda19 Grandfinale happening on Friday  the 26th of July.” wameongeza.

Shindano hilo linatarajiwa kufanyika Julai 26, Ijumaa hii katika ukumbi wa hoteli ya Kampala Sheraton.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad