AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Muigizaji maarufu nchini, Jacquelin Wolper ambaye kwasasa amejikita kwenye maswala ya ubunifu wa mavazi amefunguka kuwa siku hizi amekuwa mtu wa kusafiri sana nchini za nje mpaka amefikia hatua ya kujitengea bajeti ya miaka miwili kwa ajili ya kusafiri tu na kikubwa anachofata huko ni kujifunza vitu mbalimbali.
Akipiga story na Mwandishi wa Habari Wolper amesema
"Nina Bajeti ya miaka miwili nimejiwekea kwa Ajili ya kusafiri kwenda nje ya nchini kujifunza na nchini hizo ni Singapore, Australia na Paris"
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK