Wolper Atoa Mpya "Nina Pesa Maalumu ya Kusafiri Ulaya Miaka Miwili"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Muigizaji maarufu nchini, Jacquelin Wolper ambaye kwasasa amejikita kwenye maswala ya ubunifu wa mavazi amefunguka kuwa siku hizi amekuwa mtu wa kusafiri sana nchini za nje mpaka amefikia hatua ya kujitengea bajeti ya miaka miwili kwa ajili ya kusafiri tu na kikubwa anachofata huko ni kujifunza vitu mbalimbali.

Akipiga story na Mwandishi wa Habari Wolper amesema
"Nina Bajeti ya miaka miwili nimejiwekea kwa Ajili ya kusafiri kwenda nje ya nchini kujifunza na nchini hizo ni Singapore, Australia na Paris"
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad