AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Aunt amefungua pub hiyo ya kisasa aliyoipa jina ya The Luxe.
The luxe ina sehemu kubwa ya kupumzikia kwa ndani na nje wakati ukipata vinywaji. Kama hiyo haitoshi, kwenye pub hiyo pia kuna sehemu ya chakula yenye mandhari tofauti ambayo inaweza kumvutia mteja kulingana na matakwa yake.
Kwa sasa mastaa wakike Bongo wanaonekana kujikita kwenye ujasiriamali zaidi ambapo mbali na Aunt na Uwoya kumiliki pub, wapo Zuwena Mohamed Shilole anayemiliki mgahawa na Wema Sepetu (duka la nguo).
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK