AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Afisa habari wa Simba SC Haji Manara ametumia ukurasa wake rasmi wa instagram kueleza masikitiko yake, baada ya kupost clip video inayoonesha watu wanaodhaniwa kuwa mashabiki wa Yanga wakiichanachana jezi ya Simba SC ya msimu huu mpya wa 2019/20, Manara ameandika haya kwenye ukurasa wake wa instagram.
“Nawasihi sana Washabiki wote wa Soka nchini tusifanye hv vitendo vya hovyo hovyo Kwenye mchezo huu murua nchini na kote duniani!! haikubaliki na inaweza kusababisha mabaya kwa soka letu,Yanga na Simba ni watani wa jadi na wapinzani wa uwanjani,sio maadui wala mahasimu”
“Sote tukemee mambo ya kishamba na kwa Washabiki wa simba nawaomba msithubutu kuchana Jezi ya watani zetu,tuishie kucharurana na kutaniana ,hii ndio misingi tuliyoirithi toka kwa Waasisi wa hv vilabu!!”
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK