AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mwasiti aliendelea kusema kuwa tangu ameanza muziki hajawahi kuona msanii wa kike akijitoa kuandaa shoo kubwa kama alivyofanya Nandy ambaye hana muda mrefu kwenye gemu lakini ameweza kufanya mambo makubwa na yanayoonekana kwenye jamii.
“Nandy ni msichana mdogo sana lakini amethubutu kufanya vitu flani kwenye gemu na ameweza, hii ni tafsiri nzuri kwa wasanii wa kike Bongo kuwa tunaweza kama tukiwezeshwa.
“Niamini mimi huyu mtoto atakuja kufika mbali sana kimuziki kama ataendelea kuwa na nidhamu na upendo kwa mashabiki na wasanii wenzake, kama leo hii ameweza kuandaa Nandy Festival nakuchukua wasanii wenzake kibao tena wote wa kike huoni kama ni mwanzo mzuri?
Halafu ona hata anavyojaza shoo zake anatupa moyo hata sisi kwakweli,” alisema Mwasiti.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK