AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kupitia Queen Radio ambayo inamilikiwa na Nicki Minaj aliweka wazi kuwa yeye pamoja na mpenzi wake waliwahi kupata leseni ya ndoa lakini hawakukamilisha ndoa hiyo kutokana na ratiba walizokuwa nazo na hivyo leseni hiyo iliisha muda, sasa kupitia leseni hii ya pili inawataka wafunge ndoa ndani ya siku 80.
Nicki Minaj na Kenneth waliingia kwenye mahusiano mwaka jana 2018 na kuelezwa kuwa walikutana kwa mara ya kwanza Nicki akiwa na umri wa miaka 17 hivyo hii itakua ndoa ya kwanza kwa Nicki Minaj. Pia Nicki ameeleza kuwa harusi yao itakuwa ndogo na mbeleni watapanga sherehe kubwa.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK