Nick Minaj Apewa Siku 80 Kukamilisha Mipango ya Ndoa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Nicki Minaj apewa siku 80 kukamilisha mipango ya ndoa
Baada ya mtandao wa TMZ kuripoti kuhusu rapper Nicki Minaj pamoja na mpenzi wake Kenneth Petty kufanikiwa kupata leseni yao ya ndoa siku kadhaa zilizopita sasa ripoti mpya imewekwa wazi kuwa wawili hao wamepewa siku 80 za kukamilisha mipango yao ya ndoa.

Kupitia Queen Radio ambayo inamilikiwa na Nicki Minaj aliweka wazi kuwa yeye pamoja na mpenzi wake waliwahi kupata leseni ya ndoa lakini hawakukamilisha ndoa hiyo kutokana na ratiba walizokuwa nazo na hivyo leseni hiyo iliisha muda, sasa kupitia leseni hii ya pili inawataka wafunge ndoa ndani ya siku 80.

Nicki Minaj na Kenneth  waliingia kwenye mahusiano mwaka jana 2018 na kuelezwa kuwa walikutana kwa mara ya kwanza Nicki akiwa na umri wa miaka 17 hivyo hii itakua ndoa ya kwanza kwa Nicki Minaj. Pia Nicki ameeleza kuwa harusi yao itakuwa ndogo na mbeleni watapanga sherehe kubwa.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad