Ujumbe Mzito wa Kapombe kwa Wapenda Soka

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Ujumbe mzito wa Kapombe kwa wapenda soka
Mlinzi wa klabu ya Simba Shomari Kapombe ametoa shukrani zake kwa mashabiki waliomwombea, baada ya kurejea rasmi uwanjani tangu alipoumia mwishoni mwa mwaka 2018.


Kupitia ukurasa wake wa Instagram Kapombe ameandika, ''nachukuwa nafasi hii kushukuru kila aliyeshiriki kuniombea''.

Kapombe ambaye alicheza mechi yake ya kwanza dhidi ya Power Dynamos ya Zambia Jumanne kwenye Simba Day, ameongeza kuwa,

''Namshukuru Mungu kwa kila jaribu langu. Nahata pale nilipomkufuru na kulalamika kwa namna yoyote ile hakika ameendelea kuwa mbele yangu'.

Kapombe aliumia kwenye kambi ya timu ya taifa ya Tanzania (Taifa Stars) mwezi Desemba 2018, ilipokuwa ikijiandaa na mchezo wa kuwania kufuzu AFCON 2019 dhidi ya Lesotho.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad