Wema Sepetu "Nina Mchumba ila Kamwe Hamtajua..Nimekoma Mimi"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Wema Sepetu "Jamani nina mchumba Mbongo ambae sio maarufu ila haitotokea nikampost au kumuonesha kwenye mitandao kwani ni Utoto na imeshapitwa na wakati wake...Ukishakuwa na mahusiano na mtu alafu ukayaweka Public yanakuwa tena sio mahusiano yenu bali ya watu...Kwa kweli kipindi cha nyuma nimekuwa nikifanya hivyo sana na imekuwa ikinicost sana na mwishoe inaishia kuachana na kuwapandisha chat hao wanaume


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad