AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Wema Sepetu "Jamani nina mchumba Mbongo ambae sio maarufu ila haitotokea nikampost au kumuonesha kwenye mitandao kwani ni Utoto na imeshapitwa na wakati wake...Ukishakuwa na mahusiano na mtu alafu ukayaweka Public yanakuwa tena sio mahusiano yenu bali ya watu...Kwa kweli kipindi cha nyuma nimekuwa nikifanya hivyo sana na imekuwa ikinicost sana na mwishoe inaishia kuachana na kuwapandisha chat hao wanaume
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK