AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Tiko aliiambia Shusha Pumzi kuwa tayari ana mchumba lakini hawezi kusema ndoa ni lini kwa kuwa anataka iwe sapraizi na itafungiwa ndani ya boti katikati ya bahari ili kuleta utofauti na ndoa za mastaa wengine.
“Ndoa yangu itakuwa ni ya sapraizi na itakuwa na utofauti kwani tutakodi boti na tutaenda kufunga ndani ya boti hiyo katikati ya bahari na sherehe itakuwa humohumo ili iwe ya aina yake ambayo kila mtu ataona kweli anayeolewa ni staa,” alisema Tiko
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK