AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kesi hiyo imetajwa na kuahirishwa mahakamani hapo mbele Hakimu Mkazi Vick Mwaikambo. Wakili wa Serikali Mwandamizi Wankyo Simon amedai mbele ya Hakimu Mwaikambo, kuwa kesi hiyo ilikuja kwa ajili ya kutajwa na upelelezi bado haujakamilika.
Baada ya maelezo hayo, Hakimu Mwaikambo ameahirisha kesi hiyo hadi Novemba 7, mwaka huu kwa ajili ya kutajwa. Kabendera anakabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi yenye mashitaka matatu likiwemo la utakatishaji wa zaidi ya sh Milioni 173.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK