AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Dar es Salaam. Rais mstaafu wa Tanzania, Jakaya Kikwete amefafanua hotuba yake aliyoitoa Oktoba 8, 2019 katika kongamano la miaka 20 ya kifo cha mwalimu Julius Nyerere, akieleza kuwa haikumlenga kiongozi yeyote mstaafu wala aliyeko madarakani.
Mada katika kongamano hilo lililofanyika Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere ilikuwa, “urithi wa mwalimu Nyerere katika uongozi, Maadili, umoja na amani katika ujenzi wa Taifa” na rais huyo mstaafu alikuwa mgeni rasmi.
Katika hotuba yake, Kikwete alitaja sifa alizokuwa nazo Nyerere akisisitiza kuwa kiongozi ni sawa na mtu mwingine na haikufanyi uwe na haki zaidi kuliko wengine.
Kikwete alisema pia miongoni mwa urithi wa Nyerere ni kutotishwa na hoja na mara kadhaa akisema “hoja haipigwi rungu”.
Lakini ufafanuzi uliotolewa katika barua iliyotolewa na katibu wake e jana Alhamisi Oktoba 10, 2019, ameeleza masikitiko kuhusu upotoshaji uliofanywa na baadhi ya watu kuhusu hotuba ya rais huyo mstaafu wa Awamu ya Nne.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK