AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Rais John Magufuli alipowaamuru viongozi watendaji wa Kahama kumchangia mama aliyekuwa akitwanga kokoto kisha kuvunjwa mkono na mtuhumiwa aliyefahamika kwa jina la Daudi ambaye alimpiga na kumvunja mkono huku vyombo vya ulinzi na usalama vikishindwa kumchukulia hatua na kumsaidia.
Rais Magufuli amesema amefanya hivyo ili viongozi hao wajifunze kushughulikia malalamiko ya wananchi badala ya kumsubiri yeye barabarani.
Kila kiongozi mtendaji aliamuriwa kumchangia shilingi 50,000 na kufanikiwa kupata shilingi 500,000 papo hapo.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK