Wanawake Wawili Wajipeleka Hospitalini Kupima DNA Kudhibitisha Kuwa Wamezaa na Mwanamuziki Future..Majibu yake Sasa!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Future ana watoto 6 lakini inapoelekea sasa orodha itafikia 8 kwani wanawake wawili ambao wanadai kuzaa na rapper huyo wameenda mbali zaidi na kuamua kufanya kipimo cha DNA kuthibitisha kwamba watoto hao ni wa Future.

Baada ya kuwakana kwa muda sasa, Eliza Reign na Cindy Parker wameamua kuchukua damu za watoto wao na kuzipima kutambua kama ni ndugu na majibu yalikuja YES, kwamba damu zao zimeendana na ni ndugu.

"DNA testing was done to determine siblingship of the alleged siblings. Based on testing results obtained from analysis of the DNA loci listed, the probability of half-siblingship is 99.999996% The likelihood that they share a common biological percent is 30,462,556 to 1." Yalisomeka majibu hayo.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad